• HABARI MPYA

    Wednesday, September 18, 2013

    SIMBA SC ILIVYOVUNA MVUA YA MABAO LEO TAIFA NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU BARA LEO

    IMEWEKWA SEPTEMBA 18, 2013 SAA 5:00 USIKU
    Mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe kulia akipiga shuti mbele ya mabeki wa Mgambo JKT katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tambwe alifunga mabao manne, Simba ikishinda 6-0 na kupanda kileleni Ligi Kuu kwa kufikisha pointi 10 baada ya mechi nne.

    Betram Mombeki wa Simba SC akichuana na beki wa Mgambo JKT

    Henry Joseph akimtoka beki wa Mgambo JKT

    Amisi Tambwe akishangilia moja ya mabao yake leo

    Kikosi cha Simba SC leo

    Kikosi cha Mgambo JKT leo

    Shabiki kigeugeu; Shabiki bubu aliyehama kutoka Simba kwenda Yanga, leo amerejea tena Msimbazi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOVUNA MVUA YA MABAO LEO TAIFA NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU BARA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top