• HABARI MPYA

    Monday, September 23, 2013

    BALOTELLI AKOSA PENALTI YA KWANZA MAISHANI AC MILAN IKILALA 2-1 NA KULIMWA 'RED' JUU

    IMEWEKWA SEPTEMBA 23, 2013 SAAA 7:48 USIKU
    MSHAMBULIAJI Mario Balotelli amekosa penalti kwa mara ya kwanza maishani mwake wakati AC Milan ikilala 2-1 nyumbani katika mchezo wa Serie A dhidi ya vinara Napoli Jumapili hii.
    Balotelli, ambaye amefunga penalti zake zote 21 za awali katika mechi rasmi, alishuhudia mkwaju wake ukiokolewa na kipa Pepe Reina dakika ya 60.
    Hata hivyo, 'Supermario' aliifungia Milan dakika ya 90 na ushei kabla ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa nje miwishoni mwa mchezoMabao ya Napoli yalifungwa na Britos dakika ya sita na Higuaín dakika ya 54 pasi ya Zuniga.
    Seeing red: Mario Balotelli, left, is restrained by Milan team-mate Marco Amelia after being sent off
    Nyekundu: Mario Balotelli, kuahoto akitulizwa na mchezaji mwenzake wa Milan, Marco Amelia baada ya kulimwa kadi nyekundu
    AC Milan's forwards Mario Balotelli (2ndL) reacts after receiving a red card
    AC Milan's forwards Mario Balotelli (2ndR) argues with the referee Luca Banti (3dL)
    Kachaa Mario: Baloteli akibishana na refa Luca Banti
    Missed: Mario Balotelli missed the first penalty of his career in the 2-0 defeat to Napoli
    Anakosa: Mario Balotelli akikosa penalti
    Combo breaker: Pepe Reina saved Balotelli's penalty, his first miss in 27 attempts
    Kaokoa: Pepe Reina ameokoa penalti ya Balotelli
    On target: Gonzalo Higuain scored again for his new club
    Amefunga: Gonzalo Higuain ameifungia timu yake mpya
    Doubled: Miguel Britos scores Napoli's second goal
    La pili: Miguel Britos akiifungia Napoli bao la pili
    Acrobatics: Balotelli attempts an overhead kick
    Pigo takatifu: Balotelli akifunga kwa tik tak
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BALOTELLI AKOSA PENALTI YA KWANZA MAISHANI AC MILAN IKILALA 2-1 NA KULIMWA 'RED' JUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top