• HABARI MPYA

    Saturday, September 28, 2013

    MAN CITY NAYO MAJANGA, YAFUMULIWA TATU NA VILLA

    IMEWEKWA SEPTEMBA 28, 2013 SAA 3:53 USIKU
    MABAO ya Leandro Bacuna na Andreas Weimann kipindi cha pili yameisaidia Aston Villa kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Manchester City katika Ligi Kuu ya England.
    Wenyeji walisota kusawazisha mara mbili baada ya Yaya Toure dakika ya 45 na Edin Dzeko dakika ya 55 kuifungia City, kwanza kupitia kwa Karim El Ahamdi aloyesawazisha la kwanza Uwanja wa Villa Park dakika ya 51.
    Baadaye Bacuna akasawazisha tena kwa mpira wa adhabu dakika ya 73 na Weimann akafunga la ushindi dakika ya 76.
    Kikosi cha Villa kilikuwa: Aston Villa: Guzan, Bacuna, Vlaar, Baker, Clark, Luna, Delph, El Ahmadi, Sylla 5, Weimann/Bowery dk79 na Kozak.
    Man City: Hart, Zabaleta, Kompany, Nastasic, Kolarov, Milner, Toure, Fernandinho, Nasri/Navas dk66, Negredo na Dzeko/Joevetic dk74.
    Salute: Andreas Weimann celebrates after scoring the winner for Aston Villa against Manchester City
    Saluti: Andreas Weimann akishangilia baada ya kufunga bao la ushindi
    Salute: Andreas Weimann celebrates after scoring the winner for Aston Villa against Manchester City
    Opener: Yaya Toure squeezed home the first goal for Manchester City as they took the lead at Villa Park
    La kwanza: Yaya Toure akiifungia Manchester City
    Opener: Yaya Toure squeezed home the first goal for Manchester City as they took the lead at Villa Park
    Unhappy: Samir Nasri tries to remonstrate with officials at half time but his held back by his team-mates
    Hasira: Samir Nasri akizozana na marefa huku wachezaji wenzake wakimzuia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY NAYO MAJANGA, YAFUMULIWA TATU NA VILLA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top