• HABARI MPYA

    Wednesday, July 31, 2013

    MAN CITY KWELI BALAA, YAIFUMUA AC MILAN 5-3 KOMBE LA AUDI...ILIONGOZA 5-0 NDANI YA DAKIKA 35, IKALETA MZAHA IKATUNGULIWA TATU ZA FASTA

    IMEWEKWA JULAI 31, 2013 SAA 4:11 USIKU
    MANENO ya kocha Manuel Pellegrini kwamba ana safu kali ya ushambuliaji dunia nzima, yameanza kudhihirika taratibu baada ya timu yake, Manchester City kuvuna mvua ya mabao kwenye mechi ya Kombe la Audi leo Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich.
    Mabao matano ndani ya dakika 35, yameitotesha AC Milan iliyopambana na kurudisha hadi kulala kwa 5-3.
    David Silva alifunga bao la kwanza dakika ya tatu, kufuatia kazi nzuri ya Stevan Jovetic, na Micah Richards na Aleksandar Kolarov wakaongeza mengine dakika ya 19 na 22 na Edin Dzeko akafunga mawili ndani ya dakika tatu.
    Stephan El Shaarawy akafunga mawili na Andrea Petagna akafunga lingine katika mabao matatu ya Milan.
    Goals galore: Manchester City beat AC Milan 5-3 in the semi-finals of the Audi Cup
    Kapu la mabao: Manchester City imefiunga AC Milan 5-3 katika Nusu Fainali ya Kombe la Audi
    Quick out the blocks: David Silva (right) gave Manchester City the lead in the third minute
    David Silva (kulia) aliifungia la kwanza Manchester City
    On target: Micah Richards doubled City's lead from close range in the 20th minute
    Micah Richards akifunga la pili
    Delight: Richards celebrates his goal with new signing Fernandinho at the Allianz Arena
    Delight: Richards celebrates his goal with new signing Fernandinho at the Allianz Arena
    Flying Serb: Aleksandar Kolarov drilled home Manchester City's third goal midway through the first half
    Aleksandar Kolarov akiwafungia Manchester City la tatu
    Rampant: Kolarov and Richards celebrate after City stormed into a 3-0 lead
    Kolarov na Richards wakishangilia
    At the double: Two goals in three minutes from Edin Dzeko extended City's lead to 5-0
    Edin Dzeko alihitimisha karamu ya mabao ya City
    Relaxed: Manuel Pellegrini looks content
    Ametulia: Manuel Pellegrini akiangalia mechi
    Unhappy: Goalkeeper Marco Amelia looks bemused
    Hana furaha: kipa Marco Amelia akionekana aliyeudhika
    At the double: Two goals in three minutes from Edin Dzeko extended City's lead to 5-0
    Stephan El Shaarawy alifunga mawili kwa Milan
    Back in it: Andrea Petagna slotted past Joe Hart in the 43rd minute as City led 5-3 at half-time
    Andrea Petagna alimtungua bao zuri Joe Hart dakika ya 43
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY KWELI BALAA, YAIFUMUA AC MILAN 5-3 KOMBE LA AUDI...ILIONGOZA 5-0 NDANI YA DAKIKA 35, IKALETA MZAHA IKATUNGULIWA TATU ZA FASTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top