• HABARI MPYA

    Thursday, July 25, 2013

    ARSENAL YAWAPIGIA HESABU PABLO OSVALDO NA KIUNGO WA ATLETICO...YAITAKA PIA ROMA IONGEZE DAU LA KUMNUNUA GERVINHO

    IMEWEKWA JULAI 25, 2013 SAA 3:00 ASUBUHI
    KLABU ya Arsenal imeiambia Roma iongeze dau lake ililotoa kwa ajili ya mshambuliaji Gervinho. Roma imetoa ofa ya Pauni Milioni 6.8 na Arsenal inataka Pauni Milioni 8.6.
    Mshambuliaji wa Roma, Pablo Osvaldo pia amekuwa katika mjadala. Fulham pia wanamtaka Osvaldo.
    Msaka vipaji wa Arsenal, Everton Gushiken alimuangalia kiungo wa Atletico Mineiro, Bernard dhidi ya Olimpia usiku wa jana katika Fainali ya Copa Libertadores.
    On his way: Roma want to bring Gervinho to Italy from Arsenal
    Yuko njiani: Roma inamtaka Gervinho ahamie Italia kutoka Arsenal
    Swap deal: Pablo Osvaldo (left) could be included in a potential Gervinho transfer
    Dili la kubadilishana: Pablo Osvaldo (kushoto) anaweza kuhusishwa kwenye dili la uhamisho wa Gervinho
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ARSENAL YAWAPIGIA HESABU PABLO OSVALDO NA KIUNGO WA ATLETICO...YAITAKA PIA ROMA IONGEZE DAU LA KUMNUNUA GERVINHO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top