• HABARI MPYA

    Tuesday, July 30, 2013

    NEYMAR, MESSI WAANZA KAZI PAMOJA BARCA...PACHA JIPYA LA HATARI LA USHAMBULIAJI DUINA NZIMA

    IMEWEKWA JULAI 30, 2013 SAA 5:08 USIKU
    MCHEZAJI  mpya wa Barcelona, Neymar ameanza mazoezi na timu yake hiyo mpya baada ya kukamilisha vipimo vya afya.
    Wachezaji wote wa Barcelona waliokuwa kwenye Kombe la Mabara walitipoti jana baada ya mapumziko na Neymar alikuwa miongoni mwao pamoja na Xavi, Andres Iniesta, Cesc Fabregas na Lionel Messi.
    Ilikuwa mara ya kwanza kukutana na wachezaji wenzake wapya, baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa pili ghali katika historia ya klabu baada ya Zlatan Ibrahimovic mwaka 2009 kusajiliwa kwa Pauni Milioni 56.
     VIDEO  Mazoezi ya Barcelona na wachezaji kupimwa afya jana
    Not bad: Lionel Messi (left) and Neymar (right) trained together for the first time
    Si mbaya: Lionel Messi (kushoto) na Neymar (kulia) wakifanya mazoezi pamoja kwa mara ya kwanza
    One of the lads: Neymar (left) was put through his paces with his new team-mates in Barcelona
    Neymar (kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wapya wa Barcelona
    Cesc Fabregas
    Neymar
    Neymar na mchezaji anayetakiwa na Manchester United, Cesc Fabregas (kushoto) wote walikuwa kivutio mazoezini 
    At home: Neymar with Brazilian team-mate Daniel Alves during Barcelona training
    Nyumbani: Neymar na mchezaji mwenzake wa Brazil, Daniel Alves katika mazoezi ya Barcelona
    Welcome: Goalkeeper Victor Valdes meeting new manager Gerardo Martino
    Karibu: Kipa Victor Valdes akisalimiana na kocha mpya, Gerardo Martino
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NEYMAR, MESSI WAANZA KAZI PAMOJA BARCA...PACHA JIPYA LA HATARI LA USHAMBULIAJI DUINA NZIMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top