• HABARI MPYA

    Saturday, August 25, 2012

    MAN UNITED YAANZA LIGI


    Robin van Persie amefunga bao lake la kwanza Manchester United na kukiwezesha kikosi cha Sir Alex Ferguson kuibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Fulham, Uwanja wa Old Trafford jioni hii.
    Van Persie, ambaye alitokea benchi kuingia uwanjani Jumatatu United ikifungwa na Everton baada ya kukamilisha uhamisho wa pauni Milioni 24 kutoka Arsenal, alipewa nafasi leo, wakati Wayne Rooney akianzia benchi.
    Pick that out: Robin van Persie scores his first goal for Manchester United
    Robin van Persie akifunga bao lake la kwanza Manchester United
    United front: Van Persie is mobbed by his team-mates after scoring for Manchester United
    Van Persie akipongezwa ma wenzake baada ya kuifungia bao Manchester United

    Slide rule: Robin van Persie enjoys his big moment after scoring his first goal in a Manchester United shirt
    Robin van Persie akifurahia bao lake la kwanza akiwa na jezi ya Manchester United
    You don't miss from there: Shinji Kagawa pounces to score for United after Tom Cleverley's shot was saved
    Shinji Kagawa akiifungia United 
    On top: Shinji Kagawa celebrates after firing Manchester United in front against Fulham
    Shinji Kagawa akishangilia.
    Head boy: Rafael (No 2) was on target to put Manchester United 3-1 up just before the break
    Rafael (Namba 2)  aliifungia Manchester United 
    Here we go again: Rafael peels away after scoring his goal
    Rafael akishangilia bao lake
    Pitch invasion: Fulham keeper Mark Schwarzer had enough to worry about without a bird in his box
    Kipa wa Fulham, Mark Schwarzer

    TAKWIMU ZA MECHI

    Manchester United: De Gea, Da Silva, Carrick, Vidic, Evra, Cleverley, Anderson (Giggs 81), Valencia, Kagawa (Rooney 68), Young (Welbeck 68), Van Persie
    BENCHI: Lindegaard, Evans, Hernandez, Scholes
    MABAO: Van Persie 10, Kagawa 35, Rafael 41
    Fulham: Schwarzer, Riether, Hughes, Hangeland, Briggs, Duff, Diarra (Baird 81),Dembele, Kacaniklic (Sidwell 62), Ruiz, Petric (Rodallega 72)
    BENCHI: Stockdale, Kelly, Kasami,Halliche
    MABAO: Duff 3, Vidic (og) 64
    NJANO: Hangeland
    REFA: Kevin Friend (Leicestershire)
    MAHUDHURIO: 75,352

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAANZA LIGI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top