• HABARI MPYA

    Friday, August 31, 2012

    CHARLIE ADAM ATUA STOKE CITY


    Stoke City imemsajili kiungo wa Scotland, Charlie Adam kwa dau la pauni Milioni 4 kutoka Liverpool. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 28, alipokewa na kocha wa Tony Pulis katika Uwanja wa mazoezi wa Stoke leo asubuhi kabla ya kufanyiwa vipimo afya na kusaini mkataba wa miaka minne.
    Checking in: Charlie Adam has left Liverpool to join Premier League rivals Stoke
    Charlie Adam akiwa na jezi yake Stoke

    Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2196218/Charlie-Adam-completes-4m-Stoke-move.html#ixzz258bZmQQL
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHARLIE ADAM ATUA STOKE CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top