Wasanii wa kikundi cha Tanzania House of Talent (THT) kinachodhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania, Juma Mataruma (kushoto) na Msami Giovan wakilia 'kuombolezo kifo' cha Kauye Adam wakati wa maigizo katika hafla maalumu iliyoandaliwa kwa wanafunzi wa shule za sekondari za Dar es Salaam juzi, yanayoelimisha kuhusu mbinu za kupambana na maradhi ya UKIMWI na matumizi ya dawa za kulevya.
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment