Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 20 kabla ya kufunga la pili dakika ya 67, Barcelona ikilazimisha sare ya 2-2 na Celta Vigo ambayo mabao yake yamefungwa na Fedor Smolov dakika ya 50 na Iago Aspas dakika ya 88 katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Abanca-Balaídos. Pamoja na sare hiyo, Barcelona inarejea kileleni ikifikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, sasa ikiizidi Real Madrid pointi moja tu ambayo pia ina mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment