Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 20 kabla ya kufunga la pili dakika ya 67, Barcelona ikilazimisha sare ya 2-2 na Celta Vigo ambayo mabao yake yamefungwa na Fedor Smolov dakika ya 50 na Iago Aspas dakika ya 88 katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Abanca-Balaídos. Pamoja na sare hiyo, Barcelona inarejea kileleni ikifikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, sasa ikiizidi Real Madrid pointi moja tu ambayo pia ina mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment