Dani Ceballos akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Sheffield United 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Bramall Lane katika mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la FA England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 25, wakati la Sheffield United lilifungwa na David McGoldrick dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Browns vs. Chiefs: Updated Odds, Stat Predictions for 2021 AFC Divisional Game
-
The path to what they hope will be second consecutive Super Bowl
championship begins Sunday for the Kansas City Chiefs. After getting the
No...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment