Kiungo wa Simba SC, Ibrahim Ajibu akimiliki mpira katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Transit Camp leo asubuhi Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Simba SC imeshinda 4-0 mabao yake yakitiwa nyavuni na Ajibu dakika ya 16, kiungo Mbrazil Gerson Fraga 'Viera' mawili dakika ya 31 na 45 na Cyprian John dakika ya 86
Darius Garland, Collin Sexton out for Cavaliers vs. Pelicans with Injuries
-
The Cleveland Cavaliers will be missing some firepower for Sunday's game
against the New Orleans Pelicans ...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment