Mshambuliaji Eddie Nketiah akishangilia baada ya kuifungia Arsenal dakika ya 20 kabla ya Joe Willock kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 43 baada ya kucheza mechi 31 na kupanda hadi nafasi ya tisa kutoka ya 11, wakati Southampton inabaki nafasi ya 14 na pointi zake 37 za mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment