Mshambuliaji Eddie Nketiah akishangilia baada ya kuifungia Arsenal dakika ya 20 kabla ya Joe Willock kufunga la pili dakika ya 86 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Southampton usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 43 baada ya kucheza mechi 31 na kupanda hadi nafasi ya tisa kutoka ya 11, wakati Southampton inabaki nafasi ya 14 na pointi zake 37 za mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-1 West Brom: Michail Antonio scores winner for Hammers
-
Michail Antonio scores for the second successive game as West Ham edge
struggling West Brom to move up to seventh in the Premier League.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment