Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza Robert Lewandowski baada ya kufunga bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Eintracht Frankfurt kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ujerumani, maarufu kama DFB Pokal usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Ivan Perisic dakika ya 14, wakati la Eintracht Frankfurt lilifungwa na Danny da Costa dakika ya 69 na sasa Bavarian watakutana na Bayer Leverkusen katika fainali mwezi ujao Berlin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment