Anthony Martial akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za saba, 44 na 74 hiyo ikiwa hat trick yake ya kwanza kihistoria katika ushindi wa 3-0 wa Manchester United dhidi ya Sheffield United FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Kwa ushindi huo Manchester United wanafkisha pointi 49 baada ya kucheza mechi 31, ingawa wanabaki nafasi ya tano nyuma ya Chelsea yenye pointi51 za mechi 30, Leicester City pointi 55 mechi 31, Manchester City pointi 63 mechi 30 na Liverpool pointi 86 mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment