Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajibu akiwatoka wachezaji wa African Lyon katika mchezo wa kirafiki leo asubuhi Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda 5-0, Ajibu akifunga mabao mawili dakika za 25 na 30, mengine Mbrazil Tairone Da Silva dakika ya 28, Muzamil Yassin dakika ya 32 na Mkongo Deo Kanda dakika ya 87
Pep Guardiola faces anxious wait over Kevin De Bruyne and Kyle Walker injuries
-
De Bruyne looked to have sustained a leg muscle injury and was replaced on
the hour mark, while full back Kyle Walker went off in the first half after
a co...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment