Kiungo Fernando Francisco Reges akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Sevilla bao la pili dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri ya Lucas Ocampos aliyefunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez-Pizjuan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ralph Hasenhuttl hoping for a change of fortune that guides Southampton to FA Cup final
-
Hasenhuttl won two Austrian Cups as a player though similar fortune has
evaded him as a manager. He admitted knockout competitions have normally
led to ago...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment