Kiungo Fernando Francisco Reges akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Sevilla bao la pili dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri ya Lucas Ocampos aliyefunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 56 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez-Pizjuan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
History shows Real Madrid starlet Vinicius will struggle to get back in Zinedine Zidane's good books
-
PETE JENSON IN SPAIN: Gareth Bale, James Rodriguez, Sergio Reguilon and
Dani Ceballos are all in the team of Zidane cast-offs - and they have now
been join...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment