Nyota wa Everton, Tom Davies akikosa bao la wazi baada ya kugongesha nguzo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya mahasimu wao, Liverpool uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Goodison Park usiku wa jana. Sasa Liverpool watasubiri kushinda dhidi ya Crystal Palace ili kutangaza ubingwa na hiyo ni iwapo Manchester City hawatashinda dhidi ya Burnley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-1 West Brom: Michail Antonio scores winner for Hammers
-
Michail Antonio scores for the second successive game as West Ham edge
struggling West Brom to move up to seventh in the Premier League.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment