Nyota wa Everton, Tom Davies akikosa bao la wazi baada ya kugongesha nguzo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya mahasimu wao, Liverpool uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Goodison Park usiku wa jana. Sasa Liverpool watasubiri kushinda dhidi ya Crystal Palace ili kutangaza ubingwa na hiyo ni iwapo Manchester City hawatashinda dhidi ya Burnley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment