Ivan Rakitic akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Barcelona bao pekee dakika ya 71 akimalizia pasi ya Lionel Messi katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp. Ushindi huo unairejesha Barcelona kileleni ikifikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 31 sasa ikiizidi Real Madrid pointi tatu, ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal 'tracking Brentford's Ivan Toney' with West Ham also interested
-
The 24-year-old's excellent form has attracted suitors from the top-flight,
including Arsenal and West Ham - but the Gunners won't be making a move for
the...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment