Neal Maupay akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Brighton & Hove Albion dakika ya 90 ushei ikiilaza Arsenal 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Amex. Bao la kwanza la Brighton limefungwa na Lewis Dunk dakika ya 75 kufuatia Nicolas Pepe kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment