• HABARI MPYA

    Monday, July 06, 2015

    PIRLO AONDOKA RASMI JUVE NA KUUNGANA LAMPARD NEW YORK CITY

    MKONGWE Andrea Pirlo ameondoka rasmi Juventus kuhamia New York City, klabu zote zimethibitisha.
    Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Italia amecheza kwa miaka minne Juve ikiwa Serie A, na sasa ataungana na kiungo mwenzake mkongwe wa England, Frank Lampard timu hiyo ya Ligi Kuu Marekani, maarufu kama Major League Soccer itakayoanza Julai 21.
    Pirlo anayetarajiwa kusaini Mkataba wa miezi 18, ameiambia tovuti ya klabu hiyo: "Nimekuwa nikihitaji uzoefu huu kwa muda mrefu na sasa fursa hii imekuja nataka kuichukua,"amesema. 
    Andrea Pirlo ameondoka rasmi Juventus kuhamia New York City na klabu hiyo ya MLS imeposti picha katika tovuti yake
    Pirlo will link up in midfield with new team-mate Frank Lampard in Major League Soccer from July 21
    Pirlo poses in his new kit
    Pirlo sasa ataungana na mkongwe mwenzake Frank Lampard kuanzia Julai 21 Ligi Kuu ya Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PIRLO AONDOKA RASMI JUVE NA KUUNGANA LAMPARD NEW YORK CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top