• HABARI MPYA

    Saturday, July 25, 2015

    TAIFA STARS KUANZA NA MALAWI KUFUZU KOMBE LA DUNIA URUSI 2018

    TANZANIA itacheza na Malawi katika mchezo wa kwanza wa kuwania kupangwa kwenye makundi ya kugombea tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
    Iwapo itafanikiwa kuitoa Malawi, Tanzania itaingia kwenye Raundi ya pili ya kufuzu ambako itamenyana na Algeria.
    Ikifuzu mtihani wa Algeria, Tanzania itafanikiwa kupangwa kwenye Kundi la kuwania tiketi ya kwenda Urusi mwaka 2018.
    Mechi za Raundi ya kwanza zitachezwa ndani ya wiki Oktoba nyumbani na ugenini na Raundi ya Pili itafuatia Novemba mwaka huu, pia mechi mbili ndani ya wiki moja nyumbani na ugenini.

    RAUNDI YA AWALI KUFUZU KOMBE LA DUNIA UEUSI 2018 KANDA YA AFRIKA;
    1 Somalia VS Niger
    2  Sudan Kusini VS Mauritania
    3  Gambia VS Namibia
    4  Sao Tome e Principe VS Ethiopia
    5 Chad VS Sierra Leone
    6 Comoro VS Lesotho
    7 Djibouti VS Swaziland
    8 Eritrea VS Botswana
    9 Shelisheli VS Burundi
    10 Liberia VS Guinea-Bissau
    11 Jamhuri ya Afrika ya Kati VS Madagascar
    12 Mauritius VS Kenya
    13 Tanzania VS Malawi

    RAUNDI YA PILI
    1 Mshindi 1 VS Cameroon
    2 Mshindi 2 VS Tunisia
    3 Mshindi 3 VS Guinea
    4 Mshindi 4 VS Kongo
    5 Mshindi 5 VS Misri
    6 Mshindi 6 VS Ghana
    7 Mshindi 7 VS Nigeria
    8 Mshindi 8 VS Mali
    9 Mshindi 9 VS DRC
    10 Mshindi 10 VS Ivory Coast
    11 Mshindi 11 VS Senegal
    12 Mshindi 12 VS Cape Verde
    13 Mshindi 13 VS Algeria
    14 Sudan VS Zambia
    15 Libya VS Rwanda
    16 Morocco VS Equatorial Guinea
    17 Msumbiji VS Gabon
    18 Benin VS Burkina Faso
    19 Togo VS Uganda
    20 Angola VS Afrika Kusini
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS KUANZA NA MALAWI KUFUZU KOMBE LA DUNIA URUSI 2018 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top