• HABARI MPYA

    Friday, July 31, 2015

    MAJIMAJI NAO WALETA KOCHA MZUNGU, MSIMU HUU KAZI IPO LIGI KUU

    Makamu Mwenyekiti wa Majimaji, John Nchimbi (kushoto) akimpokea Mshauri wa Ufundi wa klabu hiyo, Mika lonnstrom kutoka Finland Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam leo. Mtaalamu huyo amefikia hoteli ya Sea Cliff, Dar es Salaam na kesho anatarajiwa kwenda Songea kuanza kazi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAJIMAJI NAO WALETA KOCHA MZUNGU, MSIMU HUU KAZI IPO LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top