David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cronulla Sharks star Braydon Trindall stood down after failed roadside
booze, drugs tests
-
Braydon Trindall will not play this weekend and is now being investigated
by the NRL integrity unit after the Sharks five-eighth failed initial
roadside al...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment