• HABARI MPYA

    Sunday, July 26, 2015

    ARSENAL WATWAA KOMBE LA EMIRATES, WAIFUNGA WOLFSBURG 1-0

    Wachezaji wa Arsenal wakisherehekea na Kombe la Emirates baada ya kuifunga 1-0 Wolfsburg ya Ujerumani, bao pekee la Theo-Walcott kwa pasi ya Jeff Reine-Adelaide Uwanja wa Emirates leo. Kikosi cha Arsene Wenger kimetwaa Kombe kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2010.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL WATWAA KOMBE LA EMIRATES, WAIFUNGA WOLFSBURG 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top