Luis Suarez wa Barcelona akipambana na Leonardo wa Los Angeles Galaxy katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa mbele ya mashabiki 93,000 mjini Pasadena asubuhi ya leo. Barca ilishinda 2-1 mabao ya Suarez naSergi Roberto, wakati bao la LA Galaxy lilifungwa naTommy Meyer. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saved by 'special talent' - but did penalty award wrong Brighton?
-
Charalampos Kostoulas earned Brighton a point with a stunning overhead kick
but were the Seagulls right to be angry over an earlier penalty award?
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment