Danny Ings (kushoto) akimlamba chenga kipa wa Adelaide United, Eugene Galekovic (katikati) kabla ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool leo Uwanja wa Adelaide Oval. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner na Liverpool sasa imeshinda zake zote tatu za kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Mashariki ya Mbali na Australia hadi sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment