Bondia Mfaransa, Nadjib Mohammedi akienda chini baada ya kuchapwa makonde na Mrusi, Sergey Kovalev katika pambano la Light Heavy mjini Las Vegas, Marekani usiku wa kuamkia leo. Mrusi huyo alitetea taji lake kwa ushindi wa Knockout (KO) raundi ya tatu. Na sasa atarejea nyumbani Moscow kujiandaa na pambano lake lijalo Novemba dhidi ya Jean Pascal, ambaye usiku wa jana alimpiga Yunieski Gonzalez kwa pointi ukumbi wa Mandalay Bay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James, Lakers Trolled by NBA Fans After 3rd Straight Blown Lead vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers have held double-digit leads in each of their three
first-round playoff games against the Denver Nuggets, but all of them have
ended...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment