OLUNGA ATOKA KAPA GOR MAHIA IKILAZIMISHWA SARE 1-1 KOMBE LA KAGAME
Kipa wa Khartoum N ya Sudan, Adil Abelrasol El Tahir akiwa amedaka mpira huku mshambuliaji wa Gor Mahia, Michael Olunga akipitiliza katika mchezo wa Kundi A Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mchana wa leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 bao la Kharotum likifungwa na Ousmaila Baba dakika ya sita kabla ya Erick Ochieng kuisawazishia Gor Mahia dakika ya 55.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment