
Mshambuliaji kinda wa Arsenal, Chuba Akpom akishangilia na mchezaji mwenzake, Alex Iwobi baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Singapore Select XI leo. Bao lingine la Arsenal katika michuano hiyo ya Barclays Asia Trophy kujiandaa na msimu mpya lilifungwa na Jack Wilshere kwa penalti, baada ya Mathieu Debuchy kujikwaa mwenyewe kwenye boksi. Arsenal itamenyana na Everton katika mchezo wa mwisho wa Barclays Asia Trophy baada ya kuifunga Stoke City kwa penalti. PICHA ZAIDI GONGA HAPA


.png)
0 comments:
Post a Comment