• HABARI MPYA

    Sunday, August 11, 2013

    VAN PERSIE AIPIGIA MABAO YOTE MAN UNITED IKITWAA NGAO YA JAMII KWA KUITANDIKA WIGAN 2-0 LEO

    IMEWEKWA AGOSTI 11, 2013 SAA 12:07 JIONI
    MABAO mawili ya Mdachi, Robin Van Persie yameiwezesha Manchester United kuilaza 2-0 Wigan kwenye Uwanja wa Wembley na kutwaa Ngao ya Jamii.
    Ushindi huo ni faraja na mwanzo mzuri kwa kocha mpya wa United, David Moyes aliyerithi mikoba ya Sir Alex Ferguson aliyestaafu mwishoni mwa msimu uliopita. 


    First of many? David Moyes holds aloft the Community Shield - his first trophy at Manchester United
    La kwanza kati ya mengi? David Moyes akiwa ameshika Ngao ya Jamii, taji lake la kwanza Manchester United
    Winners: Manchester United's Nemanja Vidic raises the Community Shield after his side's 2-0 victory
    Washindi: Nahodha wa Manchester United, Nemanja Vidic akiinua Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa 2-0 
    Here to spray: Manchester United's players celebrate their success in the season's tradition curtain-raiser
    Pulizia hapa: Wachezaji wa Manchester United wakisherehekea ushindi wao leo
    Van Persie alifunga bao la kwanza dakika ya saba kwa kichwa cha nguvu, akiunganisha krosi ya Patrice Evra kutoka wingi ya kushoto na akafunga la pili dakika ya 59 baada ya kufumua shuiti lililombabatiza beki wa Wigan, James Perch.
    Kikosi cha Man Utd kilikuwa: De Gea, Rafael/Smalling dk16, Jones, Vidic, Evra, Zaha/Valencia dk61, Carrick, Cleverley, Giggs/Anderson dk67, Welbeck/Kagawa dk83 na Van Persie/Januzaj dk84. 
    Wigan: Carson, Boyce, Perch, Barnett, Crainey, McCarthy/Dicko dk86, Watson/Espinoza dk71, McArthur/McCann dk61, Maloney/Gomez dk71, Holt/Fortune dk61 na McClean/McManaman dk62. 
    On form: Van Persie scored a double as Manchester United beat Wigan 2-0 at Wembley
    Yuko sawa: Van Persie amefunga mabao mawili leo Manchester United ikiifunga Wigan 2-0 WembleyEarly blow: Robin van Persie headed Manchester United into the lead in the sixth minute
    La kwanza: Robin van Persie akipiga kichwa kuifungia Manchester United bao la kwanza
    Ahead: The Dutchman arrived late in the penalty area to head Patrice Evra's cross into the bottom corner
    Mbele ya mtu: Mholanzi akiunganisha krosi ya Patrice Evra
    Joy: United celebrate Van Persie's early goal at Wembley
    Furaha: Wachezaji wa United wakimpongeza Van Persie baada ya kufunga bao la kwanza Wembley
    Elusive: United's new winger Wilfried Zaha escapes the attention of Ben Watson
    Winga mpya wa United, Wilfried Zaha akimtoka Ben Watson
    Vocal: David Moyes and Owen Coyle shout out instructions to their teams
    Yowe: David Moyes na Owen Coyle wakiwapigia kelele wachezaji wao kuwapa maelekezo
    Advantage doubled: Van Persie net's Manchester United's second goal just before the hour mark
    Van Persie akiifungia Manchester United bao la piliChallenge: Manchester United's Nemanja Vidic comes under pressure from Shaun Maloney
    Beki wa Manchester United, Nemanja Vidic akipambana na Shaun Maloney
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: VAN PERSIE AIPIGIA MABAO YOTE MAN UNITED IKITWAA NGAO YA JAMII KWA KUITANDIKA WIGAN 2-0 LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top