• HABARI MPYA

    Wednesday, August 28, 2013

    AZAM FC ILIVYOSAMBARATISHA 'JESHI LA TABORA' LEO, LILIKUWA BONGE LA MECHI NDANI YA MWINYI COMPLEX

    IMEWEKWA AGOSTI 28, 2013 SAA 3:48 USIKU
    Mshambuliaji wa Azam FC, akimtoka beki wa Rhino Rangers, katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora. Azam FC ilishinda 2-0.

    Gaudence Mwaikimba alikuwa mwiba leo

    Azam FC wakishangilia bao la kwanza lililofungwa na Gaudence Mwaikimba

    Jabir Aziz wa Azam akigombea mpira wa juu na mchezaji wa Rhino

    Kipa wa Rhino, Abdulkarim Mtumwa akimkabili mshambuliaji wa Azam, Kipre Tchetche 

    Nurdin Bakari wa Rhino akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Azam

    Khamis Mcha 'Vialli' wa Azam FC akimgeuza beki wa Rhino

    Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Rhino

    Erasto Nyoni leo alicheza vizuri 

    Gaudence Mwaikimba aling'ara leo

    Jabir Aziz nyuma ya mchezaji wa Rhino

    Beki wa Rhino 'akiosha' mbele ya Kipre Tchetche


    Mashabiki wa Azam waliosafiri kutoka Dar es Salaam kuja kuisapoti timu leo Tabora 

    11 wa Azam walioanza leo

    Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Uyui, Rashid Mussa Ntimizi akisalimiana na Gaudence Mwaikimba

    Benchi la Ufundi la Azam, kutoka kushoto ni kocha Mkuu, Stewart Hall na wasaidizi wake, Kali Ongala, Ibrahim Shikanda na Iddi Abubakar

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AZAM FC ILIVYOSAMBARATISHA 'JESHI LA TABORA' LEO, LILIKUWA BONGE LA MECHI NDANI YA MWINYI COMPLEX Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top