• HABARI MPYA

    Wednesday, August 28, 2013

    BINGWA WA DUNIA WA NDONDI MAREKANI ATUA DAR KUMKABILI CHEKA IJUMAA HII

    IMEWEKWA AGOSTI 28, 2013 SAA 1:01 ASUBUHI
    Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa na bondia Phil Williams wa marekani baada ya kutua nchini kwa ajili ya mpambano wake na Francis Cheka utakaofanyika August 30 siku ya ijumaa hii  katika ukumbi wa Diamon Jubilee jijini Dar es salaam Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
    Bondia Phil Williams wa marekani akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa mchezo huo kushoto ni promota Jay Msangi kulia ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 'Super D wengine ni wadau waliokuja kulaki uwanja wa ndege baada ya kutua usiku huu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
    Bondia Phil Williams wa marekani akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa WBU
    Bondia Phil Williams wa marekani akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa WBU
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BINGWA WA DUNIA WA NDONDI MAREKANI ATUA DAR KUMKABILI CHEKA IJUMAA HII Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top