• HABARI MPYA

    Saturday, August 24, 2013

    YANGA SC ILIVYOWAKARIBISHA LIGI KUU WAUZA MITUMBA WA ILALA LEO KWA 'MKONO'


     Wachezaji wa Ashanti United wakisalimiana na wachezaji wa Yamnga kabla ya mchezo. (Picha na Habari Mseto Blog)
     Beki wa Ashanti United, Ramadhani Malima akichuana na mshambuliaji wa Yanga, Hussein Javu, katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda 5-1. 
    Wachezaji wa Yanga wakiwa katika ya pamoja.
     Beki wa Ashanti United, Emanuel Kichiba (kushoto), akichuana na kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda 5-1.

    Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi wa bao 5-1.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA SC ILIVYOWAKARIBISHA LIGI KUU WAUZA MITUMBA WA ILALA LEO KWA 'MKONO' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top