• HABARI MPYA

    Thursday, March 22, 2012

    REAL WATEPETA LA LIGA, WAWILI NYEKUNDU, MOURINHO NA MSAIDIZI WAKE WATIMULIWA UWANJANI


    Cristiano Ronaldo aliyefunga bao la kuongoza la Real
    KLABU ya Real Madrid sasa wanaongoza La Liga kwa tofauti ya pointi sita tu, baada ya usiku wa jana kulazimishwa sare ya 1-1 na Villarreal na kumaliza mechi ikiwa imepoteza wachezaji wawili wa kadi nyekundu.
    Cristiano Ronaldo alifunga bao lake la 33 msimu huu dakika ya 62, lakini Marcos Senna akasawazisha zikiwa zimebaki dakika nane.
    Mambo yaliharibika kwa Real baada ya Sergio Ramos na Mesut Ozil wote kulimwa kadi nyekundu wakati Jose Mourinho na Msaidizi wake, Rui Faria walipandishwa jukwaani wote.
    Barcelona iliyoifunga Granada 5-3 juzi, imefufua matumaini ya ubingwa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL WATEPETA LA LIGA, WAWILI NYEKUNDU, MOURINHO NA MSAIDIZI WAKE WATIMULIWA UWANJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top