![]() |
| Blatter |
JUMA Kaseja na Nsajigwa Shadrack wakiwa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars watanufaika na ofa ya bima kutoka FIFA.
Rais wa Shirikisho la Soka la KimataifA (FIFA), Sepp Blatter
amesema kwamba bdo hiyo itakuwa ikiwalipia bima wachezajiwa timu za taifa ikiwa
ni njia ya kuziridhisha klabu kubwa Ulaya.
Blatteralisema hayo kwenye Mkutano Mkuu wa mwaka wa
Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA)- kwamba utaratibu wa bima hiyo utaanza baadaye
mwaka huu, , baada ya kuidhinishwa na Wajumbe wa Mkutano wa FIFA mwezi Mei.
Blatter alisema FIFA itatoa ofa ya bima kwa wachezaji, kwa
klabu na vyama vya soka vya nchi kwa mechi zote zilizo chini ya bodi hiyo.
FIFA inafuata utaratibu wa UEFA, ambayo ilisema Januari
italipa bima katika Euro 2012 baada ya ushawishi mkubwa uliofanywa na vyama vya
soka Ulaya.
Wanachama 200 walipiga kampeni nzito ya bima,
baada ya Bayern Munich kumpoteza Arjen Robben kwa miezi sita baada ya winga
huyo wa Uholanzi kuumia katika Kombe la Dunia mwaka juzi



.png)
0 comments:
Post a Comment