Beki wa kushoto wa Simba SC, Gardiel Michael Mbaga akitafakari jambo wakati wa mazoezi ya timu yake leo Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga akijifua kwa bidii kwenye mazoezi ya timu yake leo mjini Morogoro
Kiungo Mzambia, Clatous Chama (kushoto) akijifua kwenye mazoezi ya Simba SC leo mjini Morogoro
Beki Yussuf Mlipili akijifua kwenye mazoezi ya Simba SC leo mjini Morogoro
Katikati ni beki Muivory Coast, Serge Wawa Pascal na pembeni na Wabrazil, beki Tairone Santos (kulia) na kiungo Gerson Fraga (kushoto)
Wheatley reacts to historic 'honour'
-
See what 18-year-old Ethan said, after becoming the club's 250th player to
graduate from the Academy.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment