• HABARI MPYA

    Thursday, February 13, 2014

    KUTANA NA KINDA LA MIAKA 17 LENYE MWONEKANO WA 'KIBABU' LINALOTESA LAZIO

    KLABU ya Lazio imelazimika kutoa taarifa rasmi na kuchukua hatua za kisheria ili kuthibitisha mchezaji wake wa timu ya vijana ni kinda kweli na hajavuka umri wa miaka 40.
    Joseph Marie Minala, anayesema ana umri wa miaka 17, ameibuka na kuposti kwenye mitandao ya kijamii picha zinazomuonyesha akiwa na sura ya kiutu uzima kuliko alivyokuwa mdogo. Nukuu pia zimetokea kwenye vyombo vya habari vya Senegal zikisema kwamba Minala alikuwa ana umri wa miaka 41.
    Klabu hiyo ya Italia na wakala wa Minala vimepuuza taarifa kwamba anadanganya, kwa kutoa taarifa kuthibitisha umri wake haliai
    Kinda: Hivi ndivyo anavyoonekana sasa Joseph Minala
    Documents: The club released official documents after Minala was the subject of abuse because of pictures he released on social networking sites - Minala has now deleted his Instagram and Facebook accounts
    Taarifa: Klabu hiyo imetoa taarifa maalum kuhusu umri wa Minala na sasa mchezaji huyo amefuta akaunti zake za Instagram na Facebook
    In action: The Cameroonian joined Lazio last August and has impressed for their youth team
    Kazini: Mcameroon huyo alijiunga na Lazio Agosti mwaka jana na amekuwa kivutio katika timu ya vijana ya klabu hiyo
    In the dressing room: Minala alongside some of his Lazio youth team team-mates
    Chumba cha kubadilishia nguo: Minala akiwa na wachezaji wenake wa timu ya vijana ya Lazio
    Goalscoring great: Minala pictured with Udinese hitman Antonio Di Natale
    Minala akiwa na mshambuliaji wa Udinese, Antonio Di Natale
    Digs: Minala in his dormitory
    Minala akiwa chumbani kwao
    Triallist: Minala had spells at Napoli and Inter before joining the Romans
    Minala alichezea Napoli na Inter kabla ya kujiunga na The Romans
    Defence: Minala's agent said the player looks older because of a 'difficult' childhood
    Utetezi: Wakala wa Minala amesema mchezaji huyo anaonekana mzee kwa sababu ya tabu za maisha alizopitia utotoni
    Storm: He was forced to delete his Instagram and Facebook accounts, but remains on Twitter
    Kwanja: Amelazimika kufuta akaunti zake za Instagram na Facebook, lakini amebaki kwenye Twitter tu
    Joseph Minala
    Joseph Minala
    Wakala wake, Diego Tavano, ameliambia gazeti la michezo, La Gazzetta kwamba; "Alikuwa na wakati mgumu katika makuzi yake. Ikiwa utazungumza naye,utakubali kwamba ana umri wa miaka 17 kweli,".
    Minala bado ana akaunti ya Twitter na baada ya sakata la umri wake,akaandika ujumbe usemao: "Roho mbaya ni udhaifu wa mtu, nao hao wenye roho mbaya inawaumawakikukuona upo Serie A. Nakupenda! Forza Lazio,".
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KUTANA NA KINDA LA MIAKA 17 LENYE MWONEKANO WA 'KIBABU' LINALOTESA LAZIO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top