• HABARI MPYA

    Sunday, February 23, 2014

    YANGA SC ILIVYOONYESHA SOKA YA KIWANGO CHA JUU JANA NA KUUWA 7-0 TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Emmanuel Okwi kushoto akimtoka beki wa Ruvu Shooting katika mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 7-0.
    Katikati ya dimba; Mrisho Ngassa jana alikuwa kiungo mchezeshaji na alifanya kazi nzuri sana
    Beki wa Ruvu Shooting, Stefano Mwasyika kulia akijaribu kumdhibiti winga wa Yanga SC, Simon Msuva
    Emannuel Okwi kulia akimkimbiza beki wa Ruvu Shooting
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Said Bahanuzi kulia akimtoka beki wa Ruvu
    Hamisi Kiiza wa Yanga SC kushoto akiwatoka mabeki wa Ruvu Shooting
    Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Ruvu
    Hamisi Kiiza akiruka kufumua shuti jana
    Didier Kavumbangu wa Yanga SC kulia akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Ruvu Shooting
    Wanaume waliopiga mtu 7-0 jana Taifa
    Didier Kavumbangu jana alifunga mabao mawili
    Kijana amerudi; Simon Msuva jana alicheza vizuri
    Okwi akizungumza na mashabiki baada ya mechi jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC ILIVYOONYESHA SOKA YA KIWANGO CHA JUU JANA NA KUUWA 7-0 TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top