Mkanda tayari umefunguka, yaani ile pini inayoshikilia mkanda nayo ingechomoka na bahati mbaya suruali ikawa saizi kubwa kidogo, tabiri hali ingekuwaje? Hapa ni baada ya Azam kutoka nyuma kwa bao 1-0na kuongoza mabao 2-1 dhidi ya Prisons ya Mbeya katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ndipo kocha David Mwamwaja 'alipochganganyikiwa' na kuanza kufundisha wachezaji wake hadi Kinyakyusa hatimaye wakafanikiwa kusawazisha bao na kupata sare ya 2-2. |
0 comments:
Post a Comment