![]() |
| Dan Sserunkuma wa Uganda kulia akigombea mpira na beki wa Eritrea, Yonas Selemun |
![]() |
| Uganda wakishangilia bao lao la kwanza |
![]() |
| Kipa wa Sudan, Abdelrahman Ali akiwa amedaka mpira huku mshambuliaji wa Rwanda,Ndahinduka Michel akiondoka zake katika mchezo wa Kundi C, Kombe la Challenge baina ya timu hizo, Sudan ilishinda 1-0. |
![]() |
| Kipa wa Sudan alikuwa kikwazo kwa Rwanda leo |
![]() |
| Beki wa Sudan, Malik Mohamed akimdhibiti mshambuliaji wa Rwanda, Ndahinduka Michel |
![]() |
| Kipa wa Sudan aliokolea ndani mpira wa Meddie Kagere kulia aliyeinua mikono, lakini refa akapeta |
![]() |
| Ndahinduka Michel akipmbana katikati ya mabeki wa Sudan |
![]() |
| Ndahinduka Michel akimiliki mpira mbele ya beki wa Sudan |
![]() |
| Winga wa Rwanda, Mugabo Cyza Hussein akimtoka beki wa Sudan, Amier Kamal |
![]() |
| Nahodha wa Rwanda, Haruna Niyonzima akienda chini baada ya kupamiwa na mchezaji wa Sudan, Nadir Eltayeb |
![]() |
| Mpande Joseph wa Uganda kushoto akigombea mpira na beki wa Eritrea, Yonas Selemun |
![]() |
| Dan Sserunkuma kushoto leo alikuwa mwiba na akashinda tuzo ya mchezaji bora wa mechi |
![]() |
| Beki wa Ugand, Wakiro Nico Wadada akipanda kusaidia mashambulizi |
![]() |
| Hamisi Kiiza akitenga mpira apige penalti |
![]() |
| Dan Sserunkuma anapeperuka |
![]() |
| Kocha wa Tanzania Bara, Mdenmark Kim Poulsen kulia na Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Iddi Mshangama walikuwepo Uwanja wa City leo |
![]() |
| Kocha wa Uganda, Mserbia Milutin Sredojevic 'Micho' katikati akizungumza na mshambuliaji wake, Hamisi Kiiza kulia kabla ya mechi. Kushoto ni Kocha Msaidizi, Kefa Kasala. |




















.png)
0 comments:
Post a Comment