Mabao ya Aleksandar Kolarov, Sergio Aguero na James Milner yameipa Manchester City ushindi wa 3-0 katika Ligi Kuu ya England joni hii dhidi ya Sunderland. Ushindi huo, umeifanya Man City itimize pointi 15 baada ya kucheza mechi saba na inashika nafasi ya pili, nyuma ya Chelsea inayoongoza kwa pointi zake 16, ambayo hivi sasa inacheza mechi ya saba nayo dhidi ya Norwich.
Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2213740/Manchester-City-3-Sunderland-0-match-report.html#ixzz28Wo58GMI
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook

Kolarov akipongezwa kufunga bao la kwanza Uwanja wa Etihad

Mserbia huyo anafunga bao la kuongoza kwa mpira wa adhabu

Aguero anagunga la pili 2-0 kipindi cha pili

Lilikuwa shuti la pili la Aguero tangu aingie na anafunga

Mabingwa hao watetezi sasa wapo jirani na Chelsea kileleni mwa Ligi Kuu

Balotelli akiumaliza Uwanja baada ya kutolewa
Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2213740/Manchester-City-3-Sunderland-0-match-report.html#ixzz28Wo58GMI
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook


.png)
0 comments:
Post a Comment