• HABARI MPYA

    Sunday, October 21, 2012

    ADEBAYOR AAMUA KUFUNGASHA VIRAGO SPURS KUKIMBIA BENCHI


    MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Togo, Emmanuel Adebayor anajiandaa kuondoka Tottenham ifikapo Januari, mwakani sasa ikiwa ni mwezi mmoja tu tangu asaini mkataba wa kudumu na klabu hiyo.
    Adebayor anataka kuondoka Spurs baada ya kushindwa kumridhisha kocha Andre Villas-Boas, ambaye anamuweka benchi.
    Mshambuliaji huyo alipigwa 'mkeka' wakati Spurs ikilala 4-2 mbele ya Chelsea jana na hiyo imedhihirisha sasa ameamua kukubali yaishe.
    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28, amefunga mabao 17 katika mechi 32 za Ligi Kuu msimu uliopita, lakini msimu huu ameingia mara tatu tu akitokea benchi chini ya AVB.
    Missing out: Emmanuel Adebayor has struggled for playing time this season
    Emmanuel Adebayor yupo katika wakati mgumu msimu huu

    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ADEBAYOR AAMUA KUFUNGASHA VIRAGO SPURS KUKIMBIA BENCHI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top