Kocha wa Azam, Boris Bunjak na Msaidizi wake, Kali Ongala wakishuhudia kipigo |
Azam wakipiga ndiki kabla ya mechi |
Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akisali kabla ya mechi |
Kaseja akishukuru baada ya sala |
Salum Abubakr akipiga mpira |
John Bocco akielea kushangilia baada ya kufunga |
Bocco akichechemea baada ya kuumia |
Salum Abubakar katikati ya wachezaji wa Simba, Jonas Mkude kulia na Okwi kushoto |
Benchi la Azam |
Shomary Kapombe akimdhibiti Samir Hajji Nuhu |
Kaseja akiwapanga mabeki wake wakati wa kona |
Kipre Tcheche akimtoka Paschal Ochieng |
Samir Hajji Nuhu akitafuta mbinu za kumtoka Kapombe |
Kapombe baada ya kumpokonya mpira Nuhu anaondoka nao |
Okwi akitafuta mbinu za kumtoka Ibrahim Shikanda wa Azam |
Juma Kaseja akisujudu baada ya Simba kusawazisha bao |
Simba wakipongezana baada ya bao la pili |
Mkude akimiliki mpira |
Ochieng akizungumza na Kaseja |
Ngassa anasafiri |
Himi Mao Mkami akimtoka Mwinyi Kazimoto |
Ochieng amelala kuondosha mpira miguuni mwa Kipre Tcheche, huku Amri Kiemba akiwa tayari kumsaidia |
Mkude anaondoka na mpira mbele ya Abubakr wa Azam, huku Amir Maftah akiwa tayari kumpa msaada |
Bocco anamtoka Ochieng |
Simba wakishuangilia bao la Sunzu |
Rafu iliyomtoa nje Bocco, aligongana na Kiemba |
11 wa Simba walioipiga Azam leo |
Humud akiwa hewani na Sunzu |
Ngassa anawatoka wachezaji wa Azam |
Ngassa anamuwajibisha Said Mourad |
Okwi akijiandaa kufunga bao la tatu |
Mwadini pamoja na kufunhgwa matatu, lakini aliokoa ya kutosha |
Ulinzi ulikuwa mkali, lakini Okwi alipiga mbili |
Kiungo wa zamani wa Azam na Simba, Shekhan Rashid akishuhudia mechi hiyo. Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Azam, Heri Mzozo |