• HABARI MPYA

    Saturday, October 27, 2012

    SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA

    Mwadini Ali akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Felix Sunzu na kuipatia Simba bao la kusawazisha katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1.  
    Kocha wa Azam, Boris Bunjak na Msaidizi wake, Kali Ongala wakishuhudia kipigo
    Azam wakipiga ndiki kabla ya mechi
    Nahodha wa Simba, Juma Kaseja akisali kabla ya mechi

    Kaseja akishukuru baada ya sala

    Salum Abubakr akipiga mpira
    John Bocco akielea kushangilia baada ya kufunga
    Bocco akichechemea baada ya kuumia
    Salum Abubakar katikati ya wachezaji wa Simba, Jonas Mkude kulia na Okwi kushoto
    Benchi la Azam
    Shomary Kapombe akimdhibiti Samir Hajji Nuhu
    Kaseja akiwapanga mabeki wake wakati wa kona
    Kipre Tcheche akimtoka Paschal Ochieng
    Samir Hajji Nuhu akitafuta mbinu za kumtoka Kapombe
    Kapombe baada ya kumpokonya mpira Nuhu anaondoka nao
    Okwi akitafuta mbinu za kumtoka Ibrahim Shikanda wa Azam
    Juma Kaseja akisujudu baada ya Simba kusawazisha bao
    Simba wakipongezana baada ya bao la pili
    Mkude akimiliki mpira


    Ochieng akizungumza na Kaseja
    Ngassa anasafiri
    Himi Mao Mkami akimtoka Mwinyi Kazimoto
    Ochieng amelala kuondosha mpira miguuni mwa Kipre Tcheche, huku Amri Kiemba akiwa tayari kumsaidia
    Mkude anaondoka na  mpira mbele ya Abubakr wa Azam, huku Amir Maftah akiwa tayari kumpa msaada
    Bocco anamtoka Ochieng
    Simba wakishuangilia bao la Sunzu
    Rafu iliyomtoa nje Bocco, aligongana na Kiemba
    11 wa Simba walioipiga Azam leo
    Humud akiwa hewani na Sunzu
    Ngassa anawatoka wachezaji wa Azam
    Ngassa anamuwajibisha Said Mourad
    Okwi akijiandaa kufunga bao la tatu
    Mwadini pamoja na kufunhgwa matatu, lakini aliokoa ya kutosha
    Ulinzi ulikuwa mkali, lakini Okwi alipiga mbili
    Kiungo wa zamani wa Azam na Simba, Shekhan Rashid akishuhudia mechi hiyo. Kushoto ni mmoja wa viongozi wa Azam, Heri Mzozo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA NA AZAM FC KATIKA PICHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top