• HABARI MPYA

    Sunday, October 21, 2012

    BROOK SPECIAL ONE AMTANDIKA NDUGU YAKE MESSI NA KUILIPIA ENGLAND KISASI CHA BAO LA MKONO WA MUNGU LA MARADONA


    Kell Brook ametimiza ndoto zake za kuwania ubingwa wa dunia, baada ya jana usiku kumtwanga Muargentina Hector Saldivia katika raundi ya tatu kwenye ukumbi wa Motorpoint Arena mjin Sheffield.
    Bondia huyo Muingereza mwenye umri wa miaka 26, alionekana kumzidi mpinzani wake kuanzia kengele ya kwanza katika pambano lake la mwisho la mchujo kabla ya kuwania taji la IBF, uzito wa Welter ambalo anapenda kuligombea mapema mwakani.
    Brook aliahidi kumtandika Saldivia ili kuilipia timu ya taifa ya soka ya England kisasi cha bao la Mkono wa Mungu la Maradona. 
    Domination: Kell Brook takes the fight to Hector Saldivia
     Kell Brook kulia akizipiga na Hector Saldivia
    Showing his class: Brook goes to work on Saldivia
    Brook akimpa kitu Saldivia
    Down you go: Brook knocks down Saldivia
    Brook amemkalisha chini Saldivia
    On the floor: Brook finishes Saldivia with a knock down
    Brook amemmaliza Saldivia kwa kumkalisha chini
    Out for the count: Brook looks on as referee Howard Foster counts out Saldivia
     Brook akishuhudia mpinzania wake akihesabiwa na refa Howard Foster
    Celebration time: Brook celebrates his victory with his trainer
    Brook akishangilia na mwalimu wake
    No 1 contender: Brook celebrates with promotor Eddie Hearn
    Sasa ni mshindani Namba 1: Brook akishangilia na promota wake Eddie Hearn

    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: BROOK SPECIAL ONE AMTANDIKA NDUGU YAKE MESSI NA KUILIPIA ENGLAND KISASI CHA BAO LA MKONO WA MUNGU LA MARADONA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top