• HABARI MPYA

    Wednesday, March 21, 2012

    WAALGERIA WAWATOROKA SIMBA HOTELINI, HAWAJULIKANI WALIPO


    ESS Setif ya Algeria imewasili leo asubuhi Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wao wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) dhidi ya wenyeji, Simba SC mchezo utakaofanyika Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa.
    Setif ilitakiwa kufikia katika hoteli ya Durban, Kariakoo mjini Dar es Salaam- lakini ajabu walifika na kuondoka wakihamia katika hoteli ambayo hadi jioni hii wenyeji wao Simba SC walikuwa hawajapajua.
    Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange Kaburu aliiambia bongostaz kwamba hajajua Setif wamehamia wapi.
    Inaoekana Setif wamejipanga kisawasawa, kwani kitendo cha kufika Dar es Salaam na kuhamia hoteli nyingine bila wenyeji wao kujua si jambo la mzaha.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAALGERIA WAWATOROKA SIMBA HOTELINI, HAWAJULIKANI WALIPO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top