• HABARI MPYA

    Thursday, March 22, 2012

    BI HITZ HAWA HAPA TENA NA TENA NA TENA


    Godzilla
    KATIKA kutekeleza ahadi yake ya kutoa ngoma mpya kila wiki, B-Hitz imekuja na mzigo unaitwa Unknown kutoka kundi la TOKA BHITS linaloundewa na wakali kama Godzila, Deddy na Gosby.
    Marapa hao watatu, kila mmoja na staili yake wamefanya majambozi yaliyokwenda skonga babake.
    Ngoma hiyo imeandikwa na wanaume hao watatu, yaani Deddy, Godzilla na Gosby na kazi ya kuipikam imefanywa na Pancho Latino wakatim masuala ya Instruments, Mixing na Mastering yamefanywa naHermy B katika studio za B’Hits (Studio 4), Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BI HITZ HAWA HAPA TENA NA TENA NA TENA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top