Mashujaa wa hat-trick, Romelu Lukaku na Thomas Meunier wakipongezana baada ya kazi nzuri kwenye ushindi wa 9-0 wa Ubelgiji dhidi ya Gibraltar usiku wa jana katika mchezo wa Kundi H kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Maurice Dufrasne mjini Liege, Ubelgiji. Lukaku alifunga dakika za 21, 38 na 84 kwa penalti, wakati na Meunier alifunga dakika za 18, 60 na 67 wakati mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Deren Ibrahim aliyejifunga dakika ya 15, Axel Witsel dakika ya 27 na Eden Hazard dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Blakes' 17 points ease No. 13 Vanderbilt women past Albany
-
Mikayla Blakes extended her double-digit scoring streak to 30 games and
finished with 17 points and six steals as No. 13 Vanderbilt pulled away
from Albany...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment