Nyota wa Paris Saint Germain, Edinson Cavani na Neymar Junior wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Cavani alifunga dakika ya 31 na Neymar dakika ya 63 baada ya beki Dani Alves kufunga la kwanza dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Target red-hot Ekitike and Semenyo - FPL team of the week
-
With Manchester City facing struggling West Ham at home this week, it's
time to triple up on Pep Guardiola's side and captain Mr Reliable Erling
Haaland.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment