Nyota wa Paris Saint Germain, Edinson Cavani na Neymar Junior wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris. Cavani alifunga dakika ya 31 na Neymar dakika ya 63 baada ya beki Dani Alves kufunga la kwanza dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary undefeated boxing star Terence Crawford makes stunning RETIREMENT
decision: 'Nothing else left to prove'
-
The American, a five-weight world champion, won all 42 fights of his
professional fights and cemented his place among the greats of his
generation with vi...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment