Mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney akivuja damu baada ya kuumia kufuatia kugongana na Simon Francis wa Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park, lakini ajabu refa hakutoa adhabu yoyote kiasi cha kuzomewa na mashabiki. Rooney alibadilishiwa jezi baada ya kutibiwa na kuendelea na mchezo, Everton ikishinda 2-1 mabao yote yakifungwa na mshambuliaji Msenegali, El-Hadji Baye Oumar Niasse dakika za 77 na 82 baada ya Joshua King kuanza kuwafungia wageni dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment